Pages

Welcome to GLOBAL EDUCATION LINK. STUDY ABROAD through US. WE Admit YOU to Overseas Universities, We give YOU right Information, WE Advice on Course Selection, WE Guide YOU On Your CAREER, WE Guide YOU on University SELECTION, WE Assist YOU on YOUR Visa Process. JOIN US NOW OR CALL US ON 0656 200 200 for MORE Information. WELCOME TO FEEL THE DIFFERENCE.

WALIMU SHULE ZA JESHI WANOLEWA



WALIMU 150 wa shule za sekondari za jeshi, wamepatiwa mafunzo na mbinu mpya za ufundishaji ili kukabiliana na kushuka kwa kiwango cha ufaulu kwa wanafunzi nchini.

Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Jitegemee JKT, Luteni Kanali Martin Mkisi akizungumza kwenye semina hiyo, alisema mafunzo hayo ni muhimu kwa walimu hao.

Alisema ni semina ya kuwajengea uwezo walimu katika ufundishaji kufuatia mtaala mpya ambao unaelekeza mwanafunzi mwenyewe ajieleze uelewa wake kwa kile alichojifunza. 

ACADEMY OF SCIENCES PLANS TWO ILLUSTRATED SCIENCE DICTIONARIES

 Prof. Esther Mwaikambo, the TAAS president

The Tanzania Academy of Sciences (TAAS) is devising a project to develop and disseminate two illustrated Kiswahili science dictionaries for primary and secondary schools in order to increase interest and incentive use of science in the society.

Prof. Esther Mwaikambo, the TAAS president, said in an interview that the project is intended to make young people understand the importance of studying science, which would help them to be more innovative in future. Many students do not enjoy reading science subjects because of their limited vocabulary to figure out the objects behind the terms, she said.

TAAS will for the next five years seek to ease the adoption, adaptation and use of scientific knowledge and applications in poverty reduction efforts and wealth creation at homestead level, particularly in the areas of agriculture and health.

MAGAZETI

JUMATATU APRIL 22, 2013
KURASA ZA MBELE


EUROPEAN TOURISTS DONATE TO SCHOOL




By Adams Ihucha,
The Citizen Correspondent

Ngorongoro.

European holidaymakers have donated desks, chairs and tables worth over Sh 6 million to Ilimisigiyo Primary School in Ngorongoro in appreciation of the community’s conservation efforts.

The support included 60 desks to cater for 180 pupils, five teachers’ tables and chairs.

The group of European holidaymakers from Europe-based Petroleum Company - AS 24 - said they have been impressed by the Maasai’s efforts in conserving the wildlife and environment surrounding their communities and so they decided to do something on education.

“We are impressed by the Maasai indigenous conservation knowledge and we feel that we need to do something on education as a way of saying thank you to their efforts,” says chairman of AS 24 Company, Mr Brumo Daude Lagrave.

MAGAZETI

APRIL 18, 2013
KURASA ZA MBELE






WANAFUNZI 20 WANUSURIKA KIFO


WANAFUNZI zaidi ya 20 wa Shule ya Kimataifa ya St. Charles iliyopo Don Bosco katika Manispaa ya Iringa wamenusurika kifo baada ya gari waliyokuwa wamepanda namba T415 AEG kushindwa kupanda mlima na kupinduka.  

Ajali hiyo ilitokea jana katika eneo la Msikiti wa Hidaya uliopo Kata ya Mvinjeni katikati ya mji wa Iringa. 

Baadhi ya mashuhuda walisema daladala hiyo ilikuwa ikitokea eneo la Frelimo katika Manispaa ya Iringa kwenda mjini Iringa.

MAGAZETI

APRIL 17, 2013

KURASA ZA MBELE ZA MAGAZETI 




WHEN LUXURY IS GIVEN PRIORITY ABOVE EDUCATION

About fifteen years ago, the electronic media aired a story about a sick man who was sent to hospital in Mbeya. After diagnosis, the doctor asked him to pay 2000/- so that treatment could start.

The man had 2400/- in his pocket but declined to pay for his treatment, saying he had already planned to spend the money on something else. Nevertheless, he wanted to get treatment but insisted his brothers should pay the 2000/- the doctor had asked for. His brothers were indignant, so the man died on the following day, with his 2400/-.

If his brothers had been more sympathetic and paid for his medical expenses, he might have lived to spend his 2400/- as he had planned to. He might have wanted to spend it to build his family’s future, which would have been a good idea, entertained at the wrong time; but he might have planned to spend it on booze after recovery, which is stupidity per se, for him to think he could spend his money on luxury and someone else to pay for his needs.

ILEJE YATUMIA SH 35.8 MIL VIFAA MAABARA

Mwenyekiti wa Mfuko wa Fursa sawa Kwa Wote(EOTF),Anna Mkapa (wa pili kushoto), akitazama  bidhaa zinazotengenezwa na kikundi cha Engiterata Sidai, kilichopo Wilayani Arumeru, Mkoani Arusha, alipokitembelea juzi.



Ileje. Halmashauri ya Wilaya ya Ileje imetumia kiasi Sh35.8 milioni kwa ajili ya ununuzi wa vifaa vya maabara rafiki ili kuondokana na tatizo lililokuwa linawakabili katika mafunzo ya vitendo kwa masomo ya Sayansi.



Mkuu wa Wilaya ya Ileje, Rosemary Senyamule aliyasema hayo wakati wa makabidhiano ya maabara hizo na Kampuni ya Mlenterprises (LTD), na kuongeza kuwa tatizo la wanafunzi kusoma bila mafunzo ya vitendo litapungua.

Senyamle aliongeza kuwa halmashauri hiyo inaishukuru serikali kwa kuweza kuwapatia fedha hizo kwa kuwa imesaidia kuondokana na tatizo ambalo lilikuwa linaikumba wilaya hiyo kwa muda mrefu.

PICHA: MWANANCHI

MAGAZETI

APRIL 16, 2013
KURASA ZA MBELE ZA MAGAZETI










KURASA ZA MICHEZO











Share